Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Real Madrid yazidi kumkomalia De Gea

Jumamosi , 15th Jul , 2017

Real Madrid inajiandaa kupeleka ofa nyingine Manchester United kwa ajili ya kumsajili golikipa wa timu hiyo, David de Gea.

David de Gea

United wanataka kumbakisha golikipa huyo lakini itakuwa tayari kumuachia kwa dau la pauni milioni 60, fedha zitakazomfanya De Gea kuweka rekodi ya Dunia kwa uhamisho wa magolikipa.

Real Madrid wamepania kuona golikipa huyo wa zamani wa Atletico Madrid anatua jijini Madrid kuitumikia timu hiyo baada ya kumkosa mwaka 2015.

Awali United iliweka wazi kutokuwa tayari kumuuza golikipa huyo, lakini dau la Real Madrid ni wazi litawafanya wababe hao wa England kumuachia golikipa huyo aliyedumu Old Trafford kwa miaka sita sasa.

De Gea alikaribia kutua Real Madrid mwaka 2015 lakini uhamisho huo ulikwama dakika za mwisho na kwa sasa tayari ameonyesha nia ya kweli ya kutaka kujiunga na mabingwa hao wa Ulaya.

Golikipa huyo ameonekana kutokuwa na wakati mzuri ndani ya Manchester United chini ya kocha Jose Mourinho ukilinganisha na wakati wa utawala wa kocha Louis van Gaal na kwa sasa anataka kurejea nchini kwao.

United ilimsajili De Gea mwaka 2011 akitokea Atletico Madrid kwa ada ya pauni milioni 18.9 na kuwa muhimili mkubwa wa timu hiyo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto