Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Real Madrid yapata pigo lingine kisa Covid-19

Jumanne , 6th Apr , 2021

Mabingwa wa kihistoria wa michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya, klabu ya Real Madrid itamkosa mlinizi wake wa kati tegemeo Rafael Varane kwenye mchezo wa robo fainali ya kwanza dhidi ya Liverpool saa 4:00 leo usiku baada ya nyota huyo kukutwa na maambukizi ya Covid-19 asubuhi ya leo.

Mlinzi wa Real Madrid, Rafael Varane mwenye maambukiz ya Covid-19.

Kukosekana kwa nyota huyo kunazidi kumpasua kichwa kocha wa klabu hiyo, Zinedine Zidane ambaye anawakosa walinzi wake tegemezi wa chaguo la kwanza baada ya Sergio Ramos kupata majeraha juma lililopita hivyo atalazimika kuwatumia walinzi Nacho Fernandez na Eder Militao.

Kwa upande mwingine,

Manchester City ya England pia itashuka dimbani saa 4:00 leo usiku tarehe 6 Aprili 2021 kukipiga na Borussia Dortmund ya Ujerumani kwenye mchezo mwingine wa robo fainali ya michuano hiyo utakaochezwa usiku wa leo kwenye dimba la Etihad, huku Dortmung ikitaraji kuwakosa nyota wake watatu ilhali Manchester City wakiwa fiti.

Wachezaji wa Dortmund watakaokosekana ni winga wake, Jadon Sancho mwenye maumivu ya misuli ya paja, mlinzi Dan-Alex Zagadou na kiungo Axel Witsel hivyo kuifanya timu hiyo kujivunia uwzo wa nyota wao Erling Haaland ambaye ni kinara wa ufungaji kwenye michuano hiyo akiwa na mabao 10.

(Winga tegemezi wa Borussia Dortmund, Jadon Sancho).

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi