Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia avunja rekodi kwenye sekta ya michezo

Jumatatu , 18th Mar , 2024

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mussa Azan Zungu amesema katika kuelekea miaka mitatu ya Mheshimiwa Rais Dokta Samia Suluhu Hassani katika sekta ya michezo ni kutoa kwake hamasa kumevunja rekodi ya kuingiza timu mbili za Yanga SC na Simba SC.A

Akizungumza na waandishi wa habari leo Machi 18,2024 Naibu Spika Mheshimiwa Zungu amesema kuwa hamasa zimechangia kiasi kikubwa kufanya vyema kwenye michezo na hii inaonyesha kuwa Rais ana upendo anajitoa kwa wanamichezo katika kuhakikisha hawakumbani na changamoto yoyote wanapokwenda kushiriki michuano mbalimbali.

“Hii ni mara kwanza kwa nchini yetu kufanya vyema hivyo hii hamasa ya Rais kununua mabao imechangia kwa kiasi kikubwa kuzifanya timu zetu kujituma na kuhakikisha wanaipeperusha vyema bendera ya Taifa “amesema Zungu .

Kwa upande mwingine Naibu Spika huyo amesema Bunge la Tanzania limeenda mbio za marathan zenye lengo la kukusanya zaidi ya bilioni nne kwaajili ya kujenga shule vipaji maaalmu ya bunge ya wavulana ya kidato cha tano na cha Sita zitazofanyika Aprili 13 mwaka huu.

Katika mbio hizo za Bunge Marathan kutakuwa na zawadi mbalimbali kwa washindi na washiriki kwa kuwapa fedha taslimu pamoja na medali za dhahabu ,Fedha na shaba nazitatolewa kwa mshindi wa kwanza,wa pili,na mshinidi wa tatu.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala