Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia aipongeza Yanga

Alhamisi , 10th Nov , 2022

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameipongeza Yanga SC kwa kuifunga Club Africain ya Tunisia na kutinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.

Yanga ilitinga katika hatua hiyo Jumatano Novemba 9 mwaka huu baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya Club Africain.

Ujumbe wa salamu za pongezi kwa Yanga ulioandikwa leo kwenye ukurasa rasmi wa Rais Samia katika mtandao wa Instagram unasomeka;

"Kongole Yanga SC kwa kwa ushindi na kufanikiwa kusonga mbele katika michuano ya soka la wanaume kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, msimu wa 2022/2023. Nawatakia kila la heri katika hatua inayofuata,"

Yanga inatinga hatua ya makundi kwenye kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuondolewa Ligi ya mabingwa Afrika na miamba ya soka ya Sudan, Al Hilal.

Mechi ya kwanza Yanga ikiwa nyumbani dhidi ya Club Africain ilitoka suluhu katika Uwanja Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam na kwenda kupata matokeo ya ushindi Tunisia.

Mara ya mwisho kwa Yanga kwenda hatua ya makundi ya mashindano hayo ilikuwa mwaka 2018 huku shauku na imani ya mashabiki wa soka nchini ikiwa ni kuiona ikifika mbali katika mashindano hayo.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto