Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Okwi awaaga mashabiki wa Simba, atoa ahadi

Jumatatu , 5th Aug , 2019

Mshambuliaji wa zamani wa Simba Emmanuel Okwi ambaye ni raia wa Uganda, ameiaga rasmi klabu ya soka ya Simba akiwa tayari kwenda kuanza maisha mapya ndani ya klabu ya Itthad Alex SC ya Misri na kuahidi timu hiyo itabaki moyoni mwake.

Emmanuel Okwi

Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Okwi ameweka ujumbe wa kuwashukuru mashabiki kwa kumpenda na kumfanya ajisikie nyumbani kwa miaka yote ambayo amechezea klabu hiyo.

''Niwashukuru mashabiki kwa kila kitu ambacho mmenifanyia, mmekuwa watu wazuri sana kwangu, nawahakikishia kuwa upendo wenu kwangu nautambua'', ameandika Okwi.

Okwi ambaye ameichezea Simba tangu mwaka 2010, amelishukuru pia benchi la ufundi pamoja na viongozi wa Simba kwa ushirikiano ambao wamekuwa wakiwapa ili kufikia malengo yao binafsi na ya klabu.

''Ninawaahidi kuwa nakwenda Itthad Alex SC lakini Simba itabaki moyoni mwangu'', ameongeza.

Okwi ameichezea Simba kwa misimu isiyopungua 6 na kufunga magoli zaidi ya 70, huku akichukua makombe kadhaa ikiwemo Ligi kuu, Kombe la shirikisho nchini na mengine.

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi