Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Morocco kuumana na Afrika kusini Fainali WAFCON

Jumanne , 19th Jul , 2022

Timu ya taifa ya Afrika kusini wamepata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Zambia na kutinga hatua ya fainali ya michuano ya mataifa huru ya Afrika ya Wanawake 'WAFCON' kwa goli liliofungwa na Linda Motlhalo kwa mkwaju wa penati katika dakika ya 90.

Wenyeji wa michuano ya WAFCON 2022 timu ya taifa ya wanawake ya Morocco

Kwenye nusu fainali ya pili, wenyeji Morocco nao walifanikiwa kutinga fainali baada ya kuwalaza Nigeria kwa mikwaju ya penati 5 kwa 4 baada ya dakika 90 za mchezo huo kumalizika kwa sare ya goli 1-1.

Nigeria walikua wa kwanza kupata goli baada ya Yasmin Mrabet wa Morocco kujifunga katika dakika ya 62, goli liliodumu kwa dakika 4 tu kabla ya Morocco kusawazisha kupitia kwa Sanaa Mssoudy katika dakika ya 66.

Sasa Zambia na Nigeria zitapambana katika mchezo wa kuwania nafasi ya mshindi wa tatu mchezo utakao pigwa ijumaa hii Julai 22, 2022 katika uwanja wa Mfalme Mohammed wa tano nchini Morocco majira ya saa 5:00 usiku.

Nao wenyeji Morocco wataumana na Africa ya kusini katika mchezo wa fainali ya michuano hiyo mikubwa ya soka la wanawake barani Africa siku ya Jumamosi Julai 23, 2022 katika uwanja huo huo wa mfalme wa tano wa Morocco majira ya saa 5:00 usiku.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto