
Mchezaji wa Timu ya Kagera Sugar Kelvin Sabato na David Molinga
Kelvin Sabato amesema hayo wakati wa kipindi cha #KipengaXtra cha East Africa Radio, ambapo amesema endapo Molinga akipewa nafasi atafanya vizuri kwenye kikosi cha Yanga.
"Mimi ni mshambuliaji na huwa ninategemea sana nafasi ninazo tengenezewa na watu waliokuwa nyuma yangu, kwa mimi binafsi Molinga anajua mpira na vitu vingi sana anavyo muhimu je waliokuwa nyuma yake wanamtengenezea nafasi?" amesema Kelvin Sabato.
Tazama zaidi.