Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Mkuu wa Mkoa ndio chanzo cha yote'' - Lipuli FC

Ijumaa , 25th Mei , 2018

Klabu ya soka ya Lipuli FC imemtaja Mkuu wa Mkoa wa Iringa Bi Amina Amina Masenza, kuwa ndio chanzo cha mafanikio na umoja ndani ya timu hiyo inayoiwakilisha Iringa kwenye michuano ya ligi kuu soka Tanzania Bara.

Akiongea East Africa Television juu ya mwenendo wao kwa msimu mzima wa ligi kuu 2017/18, msemaji wa Lipuli FC, Clement Sanga, ameweka wazi kuwa Bi. Amina amekuwa nao bega kwa bega katika kipindi chote cha ligi kuu.

''Umoja na mshikamo wetu ndani ya klabu yetu ni matokeo ya juhudi za Mkuu wetu wa Mkoa Amina Masenza, amekuwa mtu muhimu sana kwenye kutuunganisha na kutusaidia pale tunapohitaji msaada wake hivyo mchango wake kwa timu hauelezeki'', amesema.

Mara kadhaa Bi. Amina amekuwa akitatua changamoto zilizokuwa zinaikabili timu hiyo ambayo imepanda daraja msimu huu na kuisadia kumaliza ligi katika nafasi ya 7 kwenye msimamo wa ligi kuu licha ya kusaliwa na mchezo mmoja.

Mpaka sasa Lipuli FC ina alama 38 kwenye mechi 29 ilizocheza na itamaliza ligi kwenye uwanja wake wa nyumbani dhidi ya Kagera Sugar siku ya Jumatatu Mei 28, 2018.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto