Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbeya City yapata Kocha mpya

Jumanne , 26th Sep , 2017

Baada ya kuachana na kocha wake raia wa Malawi Kinah Phiri hatimaye klabu ya Mbeya City leo imepata mrithi wa kiti hicho cha benchi la ufundi.

Mbeya City imefikia makubaliano na kocha Nsanzurwimo Ramadhani kuwa kocha Mkuu kwa mkataba wa msimu mmoja wa ligi ambao una kipengele cha kuongezwa endapo atafanya vizuri.

Msemaji wa Mbeya City Shah Mjanja amethibitisha hilo na tayari kocha huyo ambaye ni raia wa Burundi yupo nchini na mchana huu anatarajiwa kusafiri kuelekea Mwanza tayari kwa kujiunga na timu ambayo ipo mjini Shinyanga kwaajili ya mchezo wa ligi dhidi ya Mwadui.

“Ni kweli timu yetu imepata kocha mpya ambaye amesaini mkataba wa awali wa mwaka mmoja na ataongezewa endapo atafikia malengo ambayo yapo kwenye mkataba, tayari yupo nchini na anasafiri na ndege ya mchana kwenda kanda ya ziwa kujiunga na timu”, amesema Mjanja.

Kocha Ramadhani amewahi kuwa kocha kwa nyakati tofauti katika vilabu mbalimbali kwenye nchi za Burundi, Rwanda, Botswana, Malawi, Uganda, na Afrika ya Kusini.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala