Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbeya City yapata Kocha mpya

Jumanne , 26th Sep , 2017

Baada ya kuachana na kocha wake raia wa Malawi Kinah Phiri hatimaye klabu ya Mbeya City leo imepata mrithi wa kiti hicho cha benchi la ufundi.

Mbeya City imefikia makubaliano na kocha Nsanzurwimo Ramadhani kuwa kocha Mkuu kwa mkataba wa msimu mmoja wa ligi ambao una kipengele cha kuongezwa endapo atafanya vizuri.

Msemaji wa Mbeya City Shah Mjanja amethibitisha hilo na tayari kocha huyo ambaye ni raia wa Burundi yupo nchini na mchana huu anatarajiwa kusafiri kuelekea Mwanza tayari kwa kujiunga na timu ambayo ipo mjini Shinyanga kwaajili ya mchezo wa ligi dhidi ya Mwadui.

“Ni kweli timu yetu imepata kocha mpya ambaye amesaini mkataba wa awali wa mwaka mmoja na ataongezewa endapo atafikia malengo ambayo yapo kwenye mkataba, tayari yupo nchini na anasafiri na ndege ya mchana kwenda kanda ya ziwa kujiunga na timu”, amesema Mjanja.

Kocha Ramadhani amewahi kuwa kocha kwa nyakati tofauti katika vilabu mbalimbali kwenye nchi za Burundi, Rwanda, Botswana, Malawi, Uganda, na Afrika ya Kusini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto