Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashabiki Yanga wabakiza watoto 88 shuleni

Ijumaa , 2nd Aug , 2019

Umoja wa mashabiki wa klabu ya Yanga umekamilisha zoezi la kutoa tauloza Kike “Pedi” ili kusaidia ugawaji wa taulo hizo kwa wanafunzi wa kike waliopo shuleni.

Zoezi la kukabidhi taulo hizo kutoka Umoja wa mashabiki wa klabu hiyo kupitia makundi ya Whatsapp, umefanyika katika ofisi za EATV/Radio, Mikocheni Jijini Dar es Salaam, ambapo wamechangia jumla ya shilingi milioni 2,640,000.

Akizungumza kwa niaba yao, Katibu wa Umoja wa Makundi ya Whatsapp kwa Mashabiki, Venance Matthew Matei amesema, “Umoja wa makundi ya Whatsapp wa Yanga kutoka ndani na nje ya Tanzania liitwalo 'Yanga Whatsapp Group Admin' ambalo Mimi ndio katibu pamoja na wanachama wenzangu, tumechangia kupatikana kwa taulo hizi za kike zenye thamani ya shilingi 2,640,00”.

Yanga hivi sasa iko katika maandalizi ya mwisho kuelekea kwenye kilele cha kampeni ya 'Wiki ya Wananchi' ambapo pamoja na mambo mengine wamekuwa wakitoa misaada mbalimbali kwa jamii.

Aidha kwa upande wa ugawaji wa taulo hizo za kike kwa wanafunzi walipo shuleni kwa sasa limefikia katika mikoa ya Arusha na Manyara.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto