Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Marais wawili walivyoondolewa madarakani

Jumanne , 2nd Mar , 2021

Ndani ya miaka 10, marais wawili wa klabu ya soka ya Barcelona ya Hispania, Sandro Rosell na Jose Maria Bartomeu hawajamaliza awamu zao za uongozi. Wameondolewa madarakani kwa shinikizo na kisha kushtakiwa.

Jose Maria Bartomeu (kushoto) na Sandro Rosell (kulia)

Mwaka 2010 mfanyabiashara Sandro Rosell, aliingia madarakani lakini mwaka 2014 akaondolewa kwa shinikizo na kulazimika kujiuzulu na baadaye alishtakiwa na kufungwa jela lakini baadaye aliachiwa huru.

Alituhumiwa kwa matumizi mabaya ya pesa na madaraka, lakini pia utakatishaji wa fedha zaidi ya €20 million, ikiwemo usajili wa Neymar Jr kutoka Santos.

Sandro Rosell

Mwaka huo 2014 aliyekuwa Makamu wake wa Rais Jose Maria Bartomeu, akashika hatamu hadi Oktoba 2020, ambapo alilazimika kujiuzulu kwa shinikizo huku akikumbana na tuhuma mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya pesa pamoja na madaraka.

Jana Machi 1, 2021 amekamatwa na atafunguliwa mashtaka ambayo kwa kiasi kikubwa yanatajwa ni kuajiri watu wa mitandao kwaajili ya kuwachafua wachezaji wa zamani na wasasa pamoja na viongozi waliokuwa wanapinga utawala wake.

Jose Maria Bartomeu

Uchaguzi wa Barcelona utafanyika Machi 7, 2021 na wagombea watatu wenye nguvu ni Rais wa zamani wa klabu hiyo Joan Raporta, Wafanyabiashara Victor Font na Toni Freixa.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala