
Maeneo ambako uwanja huo utajengwa, kushoto ni Mbunge wa Chalinze, Ridhiwan Kikwete
15 Feb . 2017
Mh. Ridhiwan Kikwete akiwa ndani ya Studio za EA Radio
15 Feb . 2017
Waziri Dkt. Harison Mwakyembe (Wakati huo akiwa ni Waziri wa Uchukuzi) akionesha picha ya msanii Agness Gelard maarufu kwa jina la Masogange mbele ya waandishi wa habari, picha zilizotokana na camera za usalama za uwanja wa ndege, zikionesha jinsi alivyopita na kile kilichodaiwa kuwa ilikuwa ni dawa za kulevya, Agost 2013, na kuchukua hatua ya kuwafukuza watumishi wa uwanja huo wa ndege waliodaiwa kumsaidia.
14 Feb . 2017

Dkt. Harrison Mwakyembe
14 Feb . 2017