Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kenya yalipa kisasi dhidi ya Zanzibar

Jumapili , 17th Dec , 2017

Timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars imelipa kisasi dhidi ya timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes kwa kuifunga katika mchezo wa fainali ya CECAFA Senior Challenge uliomalizika jioni hii kwenye uwanja wa Kenyatta Machakos Kenya.

Mchezo huo wa fainali ulikuwa na kila aina ya mvuto baada ya Kenya kutangulia kwa bao la mapema dakika ya tano, bao ambalo lilidumu kwa zaidi ya dakika 80 ambapo Zanzibar Heroes ilisawazisha dakika ya 87.

Baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya bao 1-1, mwamuzi aliongeza dakika 30 ambapo Kenya walifunga bao la pili dakika ya 97.

Zanzibar hawakupotea mchezoni ambapo walifanikiwa kusawazisha bao hilo dakika ya 99 na kufanya dakika 120 kumalizika kwa sare ya mabao 2-2.

Fainali ya leo ni fainali ya 39 tangu kuanzishwa kwa michuano hiyo ikiwa ni ubingwa wa saba kwa taifa la Kenya. Fainali hiyo pia ilikuwa ni kumbukumbu ya fainali ya 1995 ambapo Zanzibar iliifunga Kenya mabao 2-1 na kutwaa ubingwa hivyo leo Kenya imelipa kisasi.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala