Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kariakoo Dabi kupigwa Aprili 20 Benjamin Mkapa

Jumatatu , 8th Apr , 2024

ZINAHESABIWA siku kwa sasa kutokana na tarehe kuwa wazi kwa kuwa tayari imeshapangwa na taarifa kwa kila timu zimefika mahali pake kwa mujibu wa taarifa.

Ikumbukwe kwamba Yanga na Simba walikuwa na kazi kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wamegotea wote hatua ya robo fainali.

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza tarehe ya mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga na Simba “Kariakoo Derby’ ambayo itakuwa ni Aprili 20 2024 Uwanja wa Mkapa.

Muda wa Kariakoo dabi itakuwa ni saa 11:00 jioni kwa kila timu kuwa uwanjani kusaka ushindi ndani ya dakika 90.

Taarifa iliyotolewa na Idara ya Habari na Mawasiliano ya TPLB, Aprili 7 imeeleza namna hii “Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeupangia tarehe mchezo namba 180 wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu wa 2023\24 kati ya Yanga na Simba maarufu kama ‘Kariakoo Derby’.

“Mchezo huo ambao haukupangiwa tarehe kwenye ratiba ilioyofanyiwa marekebisho na kutangazwa Februari 2024, sasa utachezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Aprili 20, 2024 saa 11:00 jioni.

“Klabu za Yanga na Simba na wadau wengine wa Ligi Kuu wamepatiwa taarifa zote kuhusu mchezo huo na maandalzi yake yanaanza mara moja ili kuhakikisha unafanyika katika kiwango cha juu kinachoendana na hadhi ya michezo mkubwa ya ligi sita kwa ubora barani Afrika,” taarifa imesema na kuongeza.

“Bodi ya Ligi inawatakia maandalizi mema ya wadau wote wa mchezo,”.

Novemba 5 2023 ubao wa Uwanja wa Mkapa kwenye mzunguko wa kwanza ilikuwa Simba 1-5 Yanga. Pointi tatu mazima zilikwenda Jwangwani.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala