
Jota, ambaye alijiunga na klabu hiyo mwaka wa 2020 akitokea Wolves, alicheza mechi 182, alifunga mabao 65, na kutoa asisti 26 atazikwa Jumamosi Julai 05/2025 Saa 4 asubuhi nchini Ureno.
Liverpool inastaafisha jezi namba 20 kwa heshima ya Diogo Jota, hivyo hakuna mchezaji wa Liverpool atakayeweza kuvaa namba hiyo.