
Method Mwanjali, siku aliyopata majeraha
Mwanjali hajajumuishwa kwenye kikosi cha Simba kilichoondoka leo kwenda ziara ya Dodoma kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya wenyeji wao Polisi Jumamosi hii katika Uwanja wa Jamhuri mjini humo.
Daktari wa Simba, Yassin Gembe amesema kwamba Mwanjali hatakwenda Dodoma na hatahusishwa kwenye programu yoyote ya timu mwezi huu wa Machi.