Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dau la kumnunua Bellingham ni Bilioni 344

Alhamisi , 22nd Sep , 2022

Klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani inaripotiwa kuwa imejipanga kumuuza kiungo wao raia wa England mwenye umri wa miaka 19 Jude Bellingham kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 150 zaidi ya Shilingi Bilioni 344 kwa pesa ya Tanzania.

Jude Bellingham ana umri wa miaka 19 anacheza nafasi ya kiungo

Bellingham ni moja kati ya wachezaji vijana wenye vipaji vikubwa na anawaniwa na vilabu kadhaa vikubwa barani Ulaya ambavyo vimeonyesha nia yakutaka kumsajili. Vilabu hivyo ni Chelsea, Manchester United, Liverpool ambao wanatajwa wameshaanza mazungumzo na mchezaji huyo, Manchester City na Real Madrid.

Lakini kwa mujibu wa ripoti kutoka nchini ujerumani zinadai kuwa matamanio ya mchezaji huyu ni kujiunga na Real Madrid na ataipa kipaumbele endapo kama mabingwa hao wa Ulaya wataonyesha nia ya moja kwa moja yakutaka kumsajili.

Mkataba wa kinda huyo wa England na klabu yake ya Borussia Dortmund unamalizika mwaka 2025, taarifa kutoka nchini Ujerumani zinadai kuwa Dortmund wapo tayari kumuuza mchezaji huyo baada ya kupita mwaka 2023 na watamuuza kwa dau la Euro milioni 150 kama ada ya uhamisho ambayo ni zaidi ya Bilioni 344 kwa pesa ya Tanzania.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto