Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azam FC yaja kivingine

Jumanne , 26th Sep , 2017

Klabu bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC inatarajiwa kuondoka kesho (Jumatano) jijini Dar es Salaam kuifuta Singida United katika mchezo wa Ligi Kuu, mzunguko wa tano utakaopigwa katika viunga vya Jamhuri Jijini Dodoma.

kikosi cha klabu bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC.

Mchezo huo unatarajiwa kufanyika Septemba 30 mwaka huu majira ya saa 10:00 jioni, huku Azam FC ikiwa ndiyo timu pekee mpaka sasa iliyoweza kulinda nyavu zake kutochunguliwa katika mechi zote nne za awali walizocheza katika viwanja mbalimbali.

Akizungumza Kocha Msaidizi wa Azam FC, Idd Nassor Cheche, amesema kuelekea mchezo huo wanatarajia kulifanyia kazi tatizo la ufungaji kwenye kikosi hicho baada ya kupoteza nafasi nyingi za wazi katika mchezo uliopita.

Kwa mujibu wa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC imeweza kushika nafasi ya pili kwa alama 10 ikiwa sawa na Mtibwa Sugar iliyo kileleni, ikizidiwa kwa tofauti ya mabao ya kufunga.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala