Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alcaraz atangaza vita, French Open

Jumanne , 17th Mei , 2022

Mcheza Tenisi namba 6 Duniani Carlos Alcaraz amesema yupo tayari kushinda taji lake la kwanza kubwa la michuano ya Tenisi yani Grand Slam na hakuna cha kumkwamisha. Amesema haya kuelekea michuano ya wazi ya Ufaransa (French Open).

Carlos Alcaraz

Kinda huyo raia wa Hispania mwenye umri wa miaka 19 atakuwa akicheza kwa mara ya pili katika michuano ya wazi ya Ufaransa ambayo kwa mwaka huu yanaanza kutimua vumbi Mei 22, 2022. Mara ya kwanza alishiriki mwaka jana 2021 na aliishia raundi ya 3.

Kuelekea michuano ya mwaka huu amejinasibu kuwa yupo tayari kutwaa ubingwa wake wa kwanza wa Grand Slam, kwa sababu yupo vizuri kimwili na kiakili.

"Siogopi kusema niko tayari kushinda Grand Slam. Mwili najisikia vizuri sana. Nina nguvu kiakili. Mimi ni mchezaji hodari na mwishowe ndivyo inavyohitajika kushinda Grand Slam. Sasa nina kiwango bora, najisikia vizuri na kujiamini kabisa. Ni mambo mengi ambayo yanaweza kunivuruga na siogopi kusema niko tayari kushinda." amesema Carlos Alcaraz

Lakini atakuwa na kibarua cha kumvua ubingwa mchezaji namba moja Dunia Novak Djkovoc ambaye ndio bingwa mtetezi wa michuano hii na Djokovic anaiwania rekodi ya kutaka kushinda Grand Slam ya 21 ili amfikie Rafel Danal ambaye hapewi nafasi kubwa ya kushinda French Open mwaka huu.

Novak Djkovic bingwa mtetezi French Open 

Katika kalenda ya mwaka huu ya michezo ya Tenis Alcaraz ameshinda michuano ya Miami Open kwa kumfunga Casper Ruud lakini pia alimfunga Alexzender Zverev kwenye mchezo wa fainali wa michuano ya Madrid Open na kutwaa ubingwa wa michuano hiyo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala