Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Adam Juma atabiri ugumu wa fainali Bball Kings

Jumapili , 12th Aug , 2018

Muongozaji mkongwe wa video nchini Adam Juma na mdau wa mchezo wa Kikapu nchini, ametoa mtazamo wake kuhusu game 5 za fainali ya michuano ya Kikapu ya Sprite Bball Kings kati ya Flying Dribbllers dhidi ya Mchenga Bball Stars, akisema ni ngumu kutabiri.

Mchenga Bball Stars (kijani) kwenye game 3 ya nusu fainali dhidi ya Portland (nyeupe).

Adam Juma ambaye amekuwa akihudhuria mechi mbalimbali za michuano hiyo inayoandaliwa na East Africa Television LTD na kupewa nguvu na kinywaji cha Sprite, alieleza kuwa kiwango ambacho alikiona kwa mabingwa watetezi Mchenga pamoja na Flying Dribblers anaamini fainali itakuwa nzuri.

''Fainali itakuwa ngumu sana, nafikiri itakwenda hadi game 5 kutokana na ubora wa timu mbili zilizoingia, kwa wapenzi wa Kikapu tusikose tu uwanjani maana tutapata kile tunachohitaji kutoka kwa timu hizi mbili'', alisema.

Adam Juma

Game za fainali za michuano hiyo ambayo inampa bingwa nafasi ya kutunza kitita cha shilingi milioni 10, huku makamu bingwa akitunza milioni 3 na mchezaji bora (MVP) akitwaa milioni 2, zitaanza Jumamosi Agosti 18 kwenye uwanja wa taifa wa ndani.

Flying Dribblers ambao waliwatoa Team Kiza kwenye nusu fainali wanacheza fainali yao ya kwanza baada ya msimu uliopita kutolewa katika nusu fainali na timu ya Mchenga Bball Stars ambao wanatetea ubingwa wao.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala