Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake wakerwa, tabia za wanaume kwenye daladala

Ijumaa , 21st Jun , 2019

Ni kawaida katika miji mikubwa yenye msongamano wa watu katika nchi nyingi barani Afrika kukumbwa na adha ya usafiri wa raia wake.

Usafiri wa daladala

Nchini Tanzania, hali hiyo inaweza kuonekana zaidi katika majiji makubwa kama Dar es Salaam, Mwanza na Arusha, ambapo shida ya usafiri upelekea watu kujazana kwenye usafiri wa daladala ambao ndio unawapa unafuu watu wengi.

Kero kubwa ambayo imetajwa kuwachosha wanawake wengi kwenye daladala ni tabia ya baadhi ya wanaume kukaa nyuma yao, maarufu kwa jina la 'Kubambia', hali inayowafanya kukosa amani katika usafiri. 

Kupitia mada iliyowekwa katika ukurasa wa Facebook wa EATV, wanawake wengi waliotoa maoni yao wameonesha kukerwa na tabia hiyo, huku wengine wakidai kuwa baadhi ya wanaume hufanya makusudi ili tu waweze kutimiza haja zao.

Licha ya kero hiyo kwa wanawake wengi ambao wametoa maoni yao, kero zingine zinazowakera wasafiri wengi ni pamoja na nguo za makondakta wa daladala pamoja na usafi wao kwa ujumla kuwa mdogo, ambapo wamedai kuwa makondakta wengi si wasafi ilihali wao wanakuwa karibu mno na abiria. Pia suala la baadhi ya abiria kuzungumza lugha chafu kwenye daladala bila kujali rika zilizomo ni kero kubwa kwa abiria wengi.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi