Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ukiwa mwanaharakati ndoa itakushinda"- Melisa

Jumatatu , 18th Jan , 2021

Mshauri wa masuala ya mahusiano na ndoa Melisa Kasembe, amesema kuwa ndoa ni taasisi iliyoanzishwa na Mungu, hivyo mwanamke yoyote akiingiza masuala ya kiuanaharakati kwenye ndoa yake basi lazima itamshinda.

Melisa Kasembe, Mshauri wa masuala ya mahusiano

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza kwenye kipindi cha DADAZ cha East Africa Television, kinachoruka kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa, na kuongeza kuwa suala la ndoa linafuata misingi ya dini na siyo misingi ya kiuanaharakati.

"Ndoa ni taasisi iliyoanzishwa na Mungu, haikuanzishwa na serikali, haikuanzishwa na chama cha siasa, kwahiyo kama ilianziswa na Mungu ina misingi yake, mwanamke aliitwa msaidizi haibadiliki ndiyo maana ukijiweka kwenye mambo ya uanaharakati ndoa itakushinda kwa sababu haina misingi ya kiuanaharakati ina misingi ya kidini, ndiyo maana hata serikali inafuata misingi ya kidini linapokuja suala la ndoa, serikali haina misngi yake ya ndoa", amesema Melisa

Tazama video hapa 
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto