Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais wa Rotary atoa msaada kwa wanafunzi 800

Jumatatu , 20th Jun , 2022

Rais wa Rotary Kimataifa, Shekhar Mehta leo Juni 20 alitembelea vyombo vya habari vya IPP, ambapo akiwa East Africa TV na East Africa Radio alikabidhi taulo za kike pakiti 10500 zilizotolewa na taasisi yake kwa ajili ya kampeni ya Namthamini.

Rais wa Rotary Kimataifa, Shekhar Mehta (kushoto) akiwa na Mwenyekiti wa IPP, Bw. Abdiel Mengi (kulia) ndani ya ofisi za East Africa TV na East Africa Radio.

Msaada huo wa Rotary utakwenda kusaidia wanafunzi wa kike zaidi ya 800 mashuleni kwa mwaka mzima.

Mwenyekiti wa IPP, Abdiel Mengi amezungumza katika tukio hilo kwa kusema, toka kuanzishwa kwa vyombo vya habari vya IPP waasisi wake walifanya masuala mbalimbali ya kuhudumia jamii, na mpaka sasa kupitia kampeni ya Namthamini imeshawafikia wanafunzi wengi katika mikoa mbalimbali Tanzania.

Rais wa Rotary Oysterbay, Aisha Sykes naye alizungumza kwa niaba ya Rais wa Rotary Kimataifa, kwa kusema tangu waanzishe elimu ya masuala ya hedhi, wameweza kuwajengea uwezo wanafunzi kupitia kampeni ya Namthamini na kuwainua mabinti wanaotoka kaya masikini na kusisitiza wataendelea kuchangia kampeni hiyo.

Pia Rais wa Rotary Kimataifa, Shekhar Mehta siku ya leo alitembelea miradi mbalimbali inayofanywa na taasisi yake katika shule ya sekondari Mtakuja maeneo ya Kunduchi, Dar es Salaam ambayo inagusa hedhi salama na kuinua kiwango cha elimu nchini.

 

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi