Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mwanaume anaridhikaje na mke mmoja"- Musa

Jumatano , 28th Dec , 2022

Musa Hasahya ni mkulima kutoka Butaleja nchini Uganda ambaye ana wake 12, watoto 102 na wajukuu 568 amesema kwamba hatoongeza tena ukubwa wa familia yake kutokana na kupanda kwa gharama za maisha.

Musa akiwa na watoto wake

Musa ameamua kuchukua hatua hiyo baada ya kuwataka wake zake kuanza kutumia uzazi wa mpango ili familia iweze kununua mahitaji ya chakula yatakayokidhi familia.

"Kipato changu kimekuwa kikishuka chini kutokana na kupanda kwa gharama za maisha na familia yangu imekuwa kubwa na kubwa zaidi, nilioa mwanamke mmoja baada ya mwingine, mwanaume anawezaje kuridhika na mwanamke mmoja," amesema Musa

Kuoa wake wengi ni halali nchini Uganda, lakini wake zake wote wanakaa kwenye nyumba moja ili kuwazuia wasiweze kutoroka na wanaume wengine.

Aidha Musa hawezi tena kufanya kazi kwa sababu ya afya yake kuzorota kutokana na maradhi na wake zake wawili wameondoka kutokana na changamoto za kifedha.

Zulaika, mke wake mdogo na mama wa watoto wake 11, amesema, "Sina watoto tena, nimeona hali mbaya ya kifedha na sasa natumia tembe (vidonge) ya kupanga uzazi, Lakini dawa za kupanga uzazi ni mwiko nchini, kwani mara nyingi zinahusishwa na uasherati,".

Umri wa watoto wa Musa ni kati ya miaka sita hadi 51, na takriban theluthi moja ya watoto wake wanaishi na Musa nyumbani kwake.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala