Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mambo muhimu kujifunza kwenye maisha kama kijana

Alhamisi , 30th Nov , 2023

Baada ya hapo jana kutangazwa kwa taarifa mbaya kuhusu kifo cha aliyekuwa mwenyekiti wa makampuni ya ''Berkshire Hathaway'' kutokea nchini Marekani, Charles Thomas Munger

Charles Thomas Munger

 

Kijana aliyehudumu kwenye jeshi la Marekani akapigana vita vya pili vya Dunia, akaisoma sheria, akaufahamu uwekezaji na kuitamani biashara, Baba wa watoto 7; amefariki siku ya jana akiwa na umri wa miaka 99.

Mbali na yeye kumchagua rafiki ambaye waliungana kuifanya biashara haswa, ambaye pia ni Bilionea mwenzake kutokea nchini Marekani anayefahamika kama Warren Buffett, mfanyabiashara asiyechoka kuwahusia vijana kuhusu uwekezaji.

Basi fahamu yapo mambo muhimu ya kujifunza kutoka kwa hayati ''Charles Thomas Munger''

1. Usijaribu kuuza kitu chochote ambacho hata wewe mwenyewe huwezi kukinunua.
2. Usifanye kazi na mtu yoyote ambaye huwezi kumuheshimu wala kuvutiwa na yeye kwa upande wa utendaji
3. Fanya kazi na watu ambao unafurahia kufanya nao kazi.
4. Kujitambua ndiyo kila kitu kwenye maisha.
5. Usitumie zaidi ya unachoingiza (kipato)
6. Usiache kujifunza kila siku.
7. Kubali kuyapokea makosa yako.
8. Jaribu kufanya kitu kipya kila uchwao.

Chanzo: fortunemag

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala