Msanii Ommy Dimpoz
Dimpoz tangu amerejea nchini ameonekana kuwa tofauti kuanzia muonekano wake wa mavazi na jumbe ambazo amekuwa aki-share kwenye mitandao yake ya kijamii ukilinganisha na hapo awali kabla hajaenda kuungana na waumini mbalimbali wakiislamu duniani kote kufanya ibada ya Umrah mwezi Mei 9.
Msanii Ommy Dimpoz
Moja ya ujumbe wake unasema; ‘Tusichoke kumuomba na kumtegemea Mwenyezi Mungu kila kitu kinawezekana chini ya Jua’.