
Mwanaume huyo ambaye jina lake halikuwekwa wazi alikutwa kwenye mji wa Fano akiwa ametokea kwenye mji wa Como umbali ambao unakadiriwa kuwa ni Miles 280, ambayo ni sawa na kilomita 450
Kwenye majira ya saa 8 usiku alikamatwa na polisi baada ya mkewe kutoa taarifa za kupotea kwake, na kwenye uchunguzi wa awali ikabainika ya kuwa alitembea umbali wa kilomita 64 kwa siku kufika kwenye mji wa Fano.
Image credit: Storyblocks Video
Chanzo: People