Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tutakomesha vikundi vyote vya kihalifu - Polisi

Alhamisi , 13th Oct , 2016

Jeshi la Polisi Tanzania limesema lipo tayari kukabiliana na vikundi vinavyoibuka mitaani kwa majina mbalimbali na kutishia usalama wa raia na mali zao kwani hiyo ndiyo kazi yao kubwa.

Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania ACP Advera Bulimba

Hayo yamesemwa Jijini Dar es Salaam na Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania ACP Advera Bulimba katika kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa na ukurasa wa facebook wa EATV wakati akijibu maswali ya wananchi kuhusiana na utendaji kazi wa Jeshi la Polisi nchini.

“Makundi ya Panya Road na Black Mamba tumejitahidi kwa kiasi kikubwa kupambana nayo na tunawahakikishia wananchi kwamba tupo imara kukabiliana nayo kinachotakiwa ni kupata taarifa sahihi kutoka kwa wananchi na sisi tutazifanyia kazi haraka iwezekanavyo” Amesema

Aidha ACP Bulimba amesema askari polisi wanapomkamata raia kisheria hawampigi au kutumia nguvu bali inapotokea viashiria kwamba mtu aliyekamatwa anakaidi amri ya polisi. kisheria wanaruhusiwa kutumia nguvu kulingana na hali halisi inayojitokeza.

Pamoja na hayo ACP Bulima amewataka wananchi kuendelea kutii sheria bila shuruti na kutoa taarifa zitakazosaidia jeshi hilo kufanya kazi yake ya kuhakikisha usalama unakuwepo katika makazi ya watu, maeneo ya biashara pamoja na taasisi mbalimbali za umma na binafsi.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala