
Picha ya Malkia Karen kushoto, kulia ni Zuchu
Malkia Karen ameshea ujumbe huo kwa kuandika "Naiomba Serikali Official Zuchu apelekwe mbali anatufanya hatulali wasanii wengine hatutali hatutafakari".
Zuchu ni moja kati ya wasanii wa kike wanaofanya vizuri hapa nchini kwa sasa licha ya kuwa na muda mfupi kwenye game.