Young Thug, anayejulikana pia kwa jina la Thugger, amekuwa kimya kimuziki kwa kipindi fulani, jambo lililoongeza hamasa miongoni mwa mashabiki wake wanaosubiri kwa hamu kazi mpya.
Mpaka sasa, bado hajatangaza tarehe rasmi ya kuachia albamu hiyo, lakini taarifa ya jina pekee tayari imezua mjadala mkubwa mtandaoni, huku mashabiki wengi wakionesha shauku yao ya kusikia muziki mpya kutoka kwake.




