Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wananiita mtoto wa Magufuli" - Sholo Mwamba

Jumamosi , 27th Mar , 2021

Msanii wa muziki wa Singeli Sholo Mwamba amesema sasa hivi akitembea mtaani watu wanamwita jina la mtoto wa Magufuli na hilo limekuja baada ya kumfanya aliyekuwa Rais huyo acheze wimbo wake kipindi cha Kampeni mwaka 2020.

Kushoto ni Hayati Dkt John Pombe Magufuli, kulia ni msanii Sholo Mwamba

"Baada ya taarifa kutoka nilipokea simu nyingi sana kwamba baba yangu amefariki, kwa sababu ninavyotembea watu wananiita mtoto wa Magufuli ilikuwa ngumu kuamini kama kweli amefariki" amesema Sholo Mwamba.

Sholo mwamba ameongeza kusema Hayati Dkt John Pombe Magufuli alimuachia zawadi ya kitambulisho ambacho anaweza kuingia nacho popote kama msanii kwenye mikutano au ghafla kubwa za viongozi nchini.

Aidha kubwa zaidi atakalolikumbuka kutoka kwa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt John Pombe Magufuli  ni fedha alizozipata wakati wa Kampeni za kuwania kiti cha Urais, Ubunge na Udiwani ambapo fedha hizo zilimfanya kununua gari lake la kwanza kwenye maisha yake.

Zaidi tazama hapa chini kwenye video.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto