Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ukiwa na nguvu za kiume ni baraka tosha" - Bob

Ijumaa , 9th Aug , 2019

Msanii na mtayarishaji wa muziki Bob Junior, amejisifia kuwa amebarikiwa nguvu za kiume tofauti na wanaume wengine.

Bob Junior

Msanii huyo amezungumza hayo kupitia eNewz ya EATV, akijibu tuhuma za kuingiza wanawake na kufanya nao mapenzi studio kwake.

"Kawaida tu mimi ni rijali, ukikuta mwanamke ana mahaba na mimi nampa tu nguvu za kiume ambazo nimejaaliwa na M/Mungu napaswa niwape watoto wa kike ambao wanahitaji mapenzi kutoka kwangu, ukiwa na nguvu za kiume ni baraka tosha kuna watu wanazitafuta hizo".

Aidha Bob Junior ameendelea kusema kuwa hawachukui wanawake wa watu ila wao wenyewe ndio wanamtafuta, wanampenda na anataka hata akifa aache kizazicha watoto 20 au 30.

Pia amezungumzia bifu kati ya Mr Blue na Bonge La Nyau, ambapo amesema hawezi kuingilia kati kwa sababu wote hao ni ndugu zake ila yupo tayari kuwapa "Beat" bure ili wafanye kazi kwa pamoja.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto