
Timbulo kazini
Staa huyu amesema kuwa, amegundua kuwa kwa sasa anahitaji kujiweka karibu zaidi na muziki, huku akikiri kuwa tabia yake ya uwazi sana, vilevile umri ndio vilivyochangia yeye kuhusishwa sana na totoz, hususan kutoka katika tasnia ya Bongo Movie.
Kwa upande mwingine pia, Timbulo akaichana eNewz kuwa, nakumiss Miss ndio project yake ya pili na ya kumaliza mwaka huu, tayari kabisa kwa mashambulizi mapya mwezi Januari.