Picha ya Bi Hindu enzi za uhai wake
East Africa TV na East Africa Radio inatoa pole kwa familia ya Bi Hindu kwa msiba huu mzito.
#RIPBiHindu
Mmoja wa waasisi wa Kaole Sanaa Bi Chuma Suleiman maarufu kama 'Bi Hindu' amefariki dunia leo nyumbani kwake Magomeni, Dar es Salaam baada ya kusumbuliwa na maradhi ya muda mrefu.
Picha ya Bi Hindu enzi za uhai wake
East Africa TV na East Africa Radio inatoa pole kwa familia ya Bi Hindu kwa msiba huu mzito.
#RIPBiHindu