Picha ya msanii NBA Young Boy na baadhi ya watoto wake
Unaambiwa rapa huyo wa Marekani akiwa na miaka 24 tu tayari ana watoto 13 kwa wanawake 10 tofauti aliowahi kuwa nao.
Na mtoto wake wa 13 amempata siku ya jana Jumapili baada ya mkewe Jazlyn Mychelle kujifungua mtoto wa kike ambapo walishea taarifa hiyo kupitia Insta Story zao.





