
Katika tamasha hili la aina yake, Nyanda anatarajiwa kupashiwa jukwaa na wasanii wakali kabisa wa nchini Uganda akiwepo Keko, GNL Zamba, Cindy na wengine wakali.
Nyanda ni kati ya wasanii waliojipatia umaarufu mkubwa Afrika Mashariki akiwa na mwenzake Nailah ambao kwa pamoja walikuwa wanaunda kundi mahiri la Brick n' Lace.