Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyamwela ajivunia kiwango cha Dance 100% 2016

Ijumaa , 30th Sep , 2016

Jaji wa Shindano la Dance100% 2016 Super Nyamwela amesema anajivunia kuona kwamba vipaji ambavyo vimepatikana katika shindano la Dance100% mwaka huu ni vikubwa ambavyo vinaweza kuisaidia jamii katika mambo mengi.

Super Nyamwela

Nyamwela ameyasema hayo alipokuwa akitoa tathmini yake kuhusu shindano hilo ambalo limemalizika hivi karibuni Jijini Dar es salaam.

“Ukweli makundi mwaka huu yamejitahidi sana kufanya mambo makubwa ambapo kila kundi limeweza kujitiuma na kuonesha kwamba ndani ya jamii kuna vipaji vingi ambavyo vikipata nafasi ya kuonekana vinaweza kufanya vizuri katika jamii na kuendeleza sanaa ya uchezaji nchini” Amesema Nyamwela.

Kwa upande wake Jaji Khalila amesema muamko mdogo wa wadada katika shindano hilo utaimarika zaidi mwaka kesho kutokana na binti pekee aliyefika hatua ya fainali Kibibi kuonesha uwezo wa hali ya juu na kuonesha kwamba wadada wakijituma wanaweza kufika mbali katika sanaa ya uchezaji.

Fainali ya shindano la Dance100% ambalo limemalizika hivi karibuni itaoneshwa na EATV siku ya Jumapili hii saa moja usiku.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi