AT
Katika wimbo huo wa AT ameanza kumshukuru mama yake mzazi ambaye amekuwa akimshauri kutokukaa kimya katika baadhi ya vitu vinavyoendelea nchini bali amekuwa akimshauri ajaribu tu kutumia maneno yenye staha ili mabaya yasiweze kumkuta.
Wimbo huu wa AT baadhi ya mashabiki wameuhusisha na masuala ya siasa yanayoendele nchini hivi sasa. Isikilize na kuitazama kazi hii hapa