Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwarabu afunguka kuwa mlinzi wa Baba wa Rihanna

Ijumaa , 9th Oct , 2020

Moja kati ya tukio lililo-trend wiki hii ni 'bodyguard' maarufu wa wasanii Mwarabu Fighter kupiga picha na baba mzazi wa msanii Rihanna Ronald Fenty ambaye amekuja kutembea hapa nchini Tanzania.

kulia ni Mwarabu Fighter na baba wa Rihanna Ronald Fenty, kushoto ni msanii Alikiba

Inasemekana Mwarabu Fighter amepata dili la kumlinda baba huyo kipindi hichi ambacho yupo hapa nchini, sasa EATV & EA Radio Digital imempata mlinzi huyo ili kuzungumzia suala hilo ambapo amesema,

"Wale ni wageni tu, walikuja sehemu ambayo nilikuwepo ila hakuna jambo lolote,  walivyoona mishe zangu wakajua ninachokifanya maana kuna mteja wangu nilikuwa namlinda, kwa hiyo wakasogea kwangu wakawa wananiuliza maswali na tukabadilishana baadhi ya vitu kwa nia ya kibiashara zaidi, yote yanatokea ni mipango ya Mungu

Akizungumzia kufanya kazi na msanii Alikiba baada ya kuonekana kwenye mchezo wa SamaKiba 'Foundation' Mwarabu Fighter amesema  "Mimi nilisapoti SamaKiba kwa sababu ni kitu kikubwa wanachokifanya kwenye jamii hadi nikapiga naye picha ila sikupewa kazi ya kumlinda".

Aidha amesema sasa hivi ana vijana ambao anawafundisha kuhusu kazi ya kuwalinda wasanii ambapo kama msanii atahitaji kufanya nao kazi atawatoa kwa makubaliano binafsi.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi