Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Marafiki wa kike si wazuri - Lulu Diva

Ijumaa , 21st Apr , 2017

Msanii wa muziki wa bongo fleva Lulu Diva amefunguka na kusema kuwa marafiki wa kike si watu wazuri kwani ni watu ambao wanaweza kukufanyia mambo mabaya na kukuumiza zaidi kwa mambo yako.

Lulu Diva

Lulu Diva alisema haya alipokuwa akiongea na EATV na kusema yeye saizi hawaamini kabisa marafiki wa kike kutokana na ukweli kwamba rafiki yake wa karibu alitembea na mchumba wake jambo ambalo lilimuumiza sana.

"Mimi sina marafiki wa kike na wala siwaamini kabisa, sababu nilikuwa na rafiki ambaye nilikuwa nashauriana naye na kumuweka wazi kila kitu changu na yeye aliniweka wazi kwa kila kitu, alikuwa ananipenda sana kiasi kwamba sikuwahi kufikiria kama angeweza kutembea na mchumba wangu, lakini huwezi kuamini niliwafuma na mchumba wangu chumbani kwangu na kiukweli niliumia sana kwa kuwa yule mwanaume nilikuwa nampenda sana" alisema Lulu Diva 

Mbali na hilo Lulu Diva anasema kitendo hicho alichofanya huyo mchumba wake kilimfanya kuwatambua wanaume kuwa wakipendwa ni tatizo, wakioneshwa mapenzi wanakuwa na matatizo zaidi. Hivyo Lulu Diva anasema anashukuru Mungu hayo mambo yalipita lakini yamemjenga sana na kumfunza pia. 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto