Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mama yangu ananilaumu sana" - Madee

Jumanne , 26th Sep , 2017

Msanii Madee ambaye leo ameachia kazi yake mpya wa 'Sema' aliomshirikisha msanii wa kike Nandy, amesema anapata wakati mgumu sana kutoka kwa mama yake kwa kitendo chake cha kuwasaidia watu baki kuliko ndugu zake.

Madee ameyasema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kwamba mama yake huwa anamshangaa sana kwa kitendo hicho, ambacho kimeweza kuibua vipaji vya wasanii hapa bongo, huku ndugu zake wa damu wakibaki bila msaada wowote, na kutoa sababu ya kuwasaidia watu hao.

"Unajua mimi mpaka mama yangu huwa ananilaumu kwa nini nasaidia watu baki alafu ndgugu zangu nawaacha, unajua muda mwengine kwa kuwasaidia hao watu mimi ndio napata riziki, na pia unakuta hao ndugu zangu sio wasanii, pengine msaada wanaohitaji ni pesa tu, sasa kama ni pesa mtu utampa kila siku lakini haimsaidii, kuliko yule anayetaka umsaidie kwa kumtengenezea njia za kuweza kupata hela mwenyewe", amesema Madee

Madee ameshasaidia baadhi ya vijana wengi na baadhi yao kufanikiwa, huku wengine bado wakiwa wanaendelea kupigana kutoka kwenye sanaa ya muziki, akiwemo Dogo Janja, Ray Vanny na Lulu Diva

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto