
Msanii wa muziki wa nchini Uganda Mad Ice
Hii ni moja ya kazi yake mpya ambayo imefanyiwa utayarishaji na producer Tarmo Makipaya wa nchini Finland.
Mkali huyo ambaye hivi sasa yupo nchini Finland ameongea na eNewz kuhusiana na kufanya kazi na producer huyo nyota kutoka mjini Helsinki nchini Finland.
