Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kesi ya Miss Tanzania, hali tete

Jumatano , 20th Sep , 2017

Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu imeisogeza mbele kesi ya utakatishaji fedha inayowakabili aliyekuwa Kamishina Mkuu wa TRA, Harry Kitilya, Miss Tanzania 1996 Shose Sinare na mwenzao hadi Oktoba 5, 2017, kutokana na upelelezi kutokamilika.

Wakati akiahirisha kesi hiyo Hakimu Mkazi Mfawidhi Cyprian Mkeha amewaambia watuhumiwa kuwa upelelezi unakaribia mwisho hivyo wawe na imani na subira. Kitilya, Shose Sinare na Sioi Solomon wanashitakiwa kwa utakatishaji wa fedha kiasi cha dola milioni 6.

Upande wa mashitaka kupitia kwa wakili wa Serikali Mtalemwa Kishenyi mapema ulidai kuwa awali waliomba siku 14 ili kukamilisha upelelezi lakini muda huo haujatosha na kuomba siku zingine 14 ili kuja kueleza hali ya upelelezi wa kesi hiyo.

Upande wa utetezi ukiongozwa na wakili Masumbuko Lamwai umedai kesi hiyo imekuwa na dalili za kukomoana ambapo wateja wao wamekaa gerezani kwa takribani mwaka na nusu bila upelelezi kukamilika na inashangaza kuambiwa upelelezi bado.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto