Jumatatu , 2nd Oct , 2023

Producer wa muziki Mr T Touchez anasema wasanii aliowatengeneza kupitia mikono yake na kufanya nao kazi wana nguvu pia hajawahi kufanya kazi na msanii halafu asipate pesa.

Producer Mr T Touchez

"Mimi wasanii wote niliowatengeneza kwenye hii game wapo strong, anza na Billnass, Darassa na Nay Wa Mitego, kwanza sijawahi kufanya kazi na msanii asipate pesa".

Mr T Touchez anasema sio kama anajigamba bali ni kuonesha uwezo wake wa kufanya kazi.