
Msanii wa Bongofleva nchini Tanzania Joh Makini
Joh Makini amesema kuwa, ni ngumu sana wakati mwingine kuiweka video katika mfumo ambao utaridhisha kila mtu, huku akikazia kuwa ni video ambayo imegharamiwa kama nyingine zote zile.
Kwa sasa rapa huyu amerejea kwa kishindo na video ya ngoma inayokwenda kwa jina XO ft G Nako, kazi ambayo tayari imeanza kueleweka mitaani.
