Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dance 100% inarudisha hadhi ya wachezaji - Shetta

Jumatatu , 12th Oct , 2015

Msanii Shetta ambaye pia ni mmoja wa majaji wa mashindano ya Dance100% yaliyofikia finali zake siku ya jumamosi Tarehe 10 oktoba, amesema mashindano hayo yanarudisha hadhi ya wachezaji ambayo walikuwa nayo.

sheta ameyasema hayo kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kueleza kwamba siku za nyuma wasanii wa kucheza walikuwa hawathaminiwi, lakini kutokana na mashindano hayo kuteka hisia za watu wengi, imesaidia kuwarudishia heshima na kubadilisha maisha yao.

"East Africa TV wanavyorusha shindano kama hili, uthamani unaongezeka kwa sababu mwanzo kabisa tulikuwa si tuna dance heshima ilikuwepo, lakini hapa kati ikaja ikavurugika dancer hana thamani na vitu kama hivyo, lakini hata sisi wasanii wakubwa tunavyo waalika Dancers tunafanya nao show, tunawapa ajira maisha yanabadilika", alisema Sheta.

Nao washindi wa mashindano hayo ambao ni kundi la WD, wamewataka vijana kuwa na uthubutu wa kufanya vitu na kutokata tamaa wakihofia kushindwa.

"Namshukuru Mungu baada ya kutajwa washindi wa Dance 100% 2015, kwa sababu tumeshiriki ndani ya miaka mitatu bila mafanikio, lakini mwaka huu tumechukua washindi wa kwanza, kitu tulichoangalia ni ubunifu, usikubali kufanya kitu ambacho mwenzako amefanya au mtu mwengine amefanya, kupigana kwamba usikubali kusema hiki kitu mi sikiwezi", alisema Omary ambae ni mmoja kati ya washiriki wa kundi la WD.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto