
staa wa miondoko ya bongofleva Bwana Misosi
Akiwa chini ya usimamizi wa Papaa Misifa ambaye ameiambia eNewz kuwa ana imani kubwa katika uwezo wa staa huyo, Misosi amesema kuwa ujo wake mpya utaenda sambamba na listening Party kwa wadau na mashabiki mbalimbali ili watoe maoni yao kutokana na nyimbo hizo mpya ambazo amefanya, zikiwemo kolabo na Jaguar, Makamua, Barnaba na wengineo wengi.
