Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ben Pol abadilisha dini,ataja jina lake la Kiislam

Jumamosi , 24th Oct , 2020

Msanii wa RnB Bongo Ben Pol ameweza ameshtua wengi baada ya kubadilisha dini na kuhamia kwenye uislam ambapo amepost picha akiwa amevaa kanzu katika msikiti wa Maamur uliopo maeneo ya Upanga Jijini Dar Es Salaam chini ya Imam Mkuu wa msikiti huo Sheikh Issa Othman Issa.

Msanii Ben Pol na cheti chake baada ya kubadilisha dini

Kupitia picha hiyo Ben Pol ameandika kuwa "Bismillah-hir-rahman-nir-rahim 23.10.2020" kisha akaweka alama za kushukuru.

Aidha ukipitia kwenye Insta Stori yake ameshea picha ya cheti chake ambacho kinaonyesha maandishi ya kubadilisha kutoka kwenye uikristo hadi kuwa muislam ambapo jina lake jipya ni Benham Paul Mnyanganga baada ya lile jina lake la zamani Benard Paul Mnyanganga.

Hizi hapa ni comments za baadhi ya mastaa wenziye wakimpongeza baada ya kubadilisha dini 

"Mabrook Mabrook" - Ommy Dimpoz 

"Umeamua kujikuta Tyrese sio" - Fid Q

"Mashallah, Alhamdulillah" - Mwana Fa 

"MashAllah Jina tu hujasema Shekhe" - Dullah Planet

Tumejaribu kumtafuta Ben Pol ili aweze kufafanua zaidi kuhusu chanzo cha kubadilisha dini lakini kwa bahati mbaya hakushika simu yake, pia tumemtafuta Imam Mkuu wa Msikiti huo lakini na yeye hatukumpata hewani.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto