
msanii wa bongofleva Bee Man
Staa huyo amesema kuwa, kutokana na kukua kwa mitindo ya kunakili muziki hasa kutoka Afrika Magharibi, kwa upande wake ameamua kuangalia misingi ya wasanii wa zamani, wakiwepo wakina Baraka Mwinshehe walichokuwa wanakifanya, na kutembea katika misingi hiyo.
